Header Ads

Wilaya ya Mbogwe Yapewa Zawadi ya Gari Kwa Kufanikisha Ushindi wa Kishindo katika Kura za Urais


1
Mkuu wa Mkoa Fatma Mwassa akiwasili katika Hotel ya Lenny Mjini Geita katika Hafla fupi ya Kujipongeza kwa Ushindi walioshinda Mkoa wa Geita katika nyadhifa mbalimbali (Urais,Ubunge na Udiwani).
12
Mwenyekiti wa Kamati ya Ushindi ya ushindi Ignas  Athanas akionyesha fungua ya Gari aina ya Noah ambayo Wilaya ya Mbogwe iliibuka na ushindi kwa kupata kura za urais kwa asilimia 77.
11109
Hati za Pongezi zikitolewa
87
Wanachama wakicheza kwa furaha.
5432

No comments