Basi la Mohammed Trans lapata ajali
Basi hilo lilikuwa limekodiwa na walimu waliokuwa wanatoka masomon katka chuo kikuu cha Eckernforde Tanga university baada ya kumaliza mhula (semiseter) ya course yao ambayo huendeshwa chuon hapo wakati wa likizo na ni maalum kwa watumishi hasa walimu!
Bwana alitoa na bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe.
ReplyDeleteJackon