Header Ads

VIDEO: Rais Magufuli Akionyesha Majina ya Wafanyakazi Hewa wa Bank Kuu Tanzania

Rais Magufuli akiwaonyesha wakuu wa BOT majina ya wafanyakati hewa ambao uongozi umekili kufanya makosa na kuahidi watarekebisha mara moja kwa kuyaondoa kwenye vitabu vya BOT.

Rais amewaamuru wayaondoe mara moja ili pesa zitumike kulipa wafanyakazi wanaostahili kulipa kama wafanyakazi wa BOT.

Rais amesitikishwa na uzembe na pia wizi unaofanyika BOT kwa njia za udanganyifu.


No comments