Header Ads

Mgombea Urais wa Marekani Anayeichukia Africa na Aliyeahidi Kuwatupa Jela Museven na Mugabe Azidi Kupeta Uchaguzi wa Marekani

Donald Trump ameshinda tena katika jimbo la Nevada. Ni mfulilizo wa kushinda katika majimbo matatu na hivyo kuwa kidedea kwa chama chake cha Republicans akiashiria kuteuliwa na chama hicho kuwa mgombea wake wa kiti cha uraisi.

No comments