Header Ads

Ubunge Viti Maalum: Wakati Wema Sepetu Analia, Mwanamuziki Albino Keisha Anacheka.


Image result for picha ya keisha
Msanii Keisha ambae ni mlemavu wa ngozi ameshinda kura za maoni ubunge viti maalum Dodoma, wakati Keisha akicheka msanii Wema Sepetu ameangukia pua uko Singida, kwa kukosa nafasi kama hiyo.

No comments