Fahamu Kuhusu Misukule Wa Maofisini Na Jinsi Ya Kujikinga Usifanywe Msukule Wa Ofisini
Na. Dokta Mungwa Kabili...0744 000 473
SWALI : Mtaalamu, kwa heshima na taadhima ninaomba unisaidie suala langu. Mimi ni mwanamke mkaazi wa manispaa ya Nyamagana, jijini Mwanza, umri wangu ni miaka 37, mume wangu ana miaka 45 sasa. Tangu tumefunga ndoa, huu ni mwaka wa kumi na tano. Mimi nina jishughulisha na biashara ya ufundi cherehani. Mume wangu amesoma hadi Chuo Kikuu, amesomea mambo ya kompyuta.
Tangu mwaka 2000 mume wangu amekuwa akifanya kazi kwenye Internet Café ya Muhindi . Hela anayo lipwa kidogo sana, na kutokana na uchapaji kazi wake, kampuni nyingi zimekuwa zikimfuata zikitaka kumuajiri tena kwa kulipa hela nyingi zaidi ya zile anazo lipwa kwa huyo tajiri muhindi.
Unyayo
Lakini cha kushangaza mume wangu amekuwa akiwakatalia. Maisha tunayo ishi hayaridhishi hata kidogo, tunazidiwa mpaka na vijana wadogo walio anza maisha juzi tu. Nikimwambia mume wangu, atafute sehemu yenye maslahi, anakataa. Nikiwambia tutunze hela, afungue nay eye internet café yake, anakataa pia, yeye amekazana na kumtumikia huyo muhindi.
Siku moja nikiwa naongea na shoga yangu mmoja, akaniambia inawezekana mume wangu atakuwa amefanywa msukule wa ofisini na huyo bosi wake muhindi. Eti mtaalamu, hivi ni kweli, jambo hilo linawezekana kwamba kweli mume wangu amefanywa msukule wa kazi na bosi wake ? kama ni kweli ninamtoaje kwenye huo utumwa ?
DR. MUNGWA KABILI ANAJIBU.
Pole sana dada angu kwa madhila yaliyo mkuta mume wako. Ni kweli kabisa, wapo misukule wa ofisini. Uchawi huu, hufanywa na wamiliki wa kampuni na biashara mbalimbali. Walengwa wakuu wa uchawi huu ni kwanza wafanyakazi wachapakazi walio na weledi wa kazi husika, na pili wafanyakazi ambao nyota zao zinaendana na biashara husika.
Wapo misukule wa aina mbili. Misukule wanao onekana kwa macho ya nyama, na misukule wasio onekana.
Misukule wasio onekana ni watu wanao dhaniwa kufa, lakini kiukweli wanakuwa hawajafa, isipokuwa wanakuwa wamechukuliwa kichawi.
Ilihali misukule wanao onekana, ni watu wanaoishi kama watu wengine, lakini nyota zao zinakuwa zimechukuliwa na wachawi kwa matumizi yao binafsi (wachawi ) na pia nafsi.
KUFAHAMU KWA UNDANI KUHUSU MISUKULE WASIO ONEKANA, TAFADHALI TEMBELEA :
Misukule wa maofisini wapo katika kundi la misukule wanao onekana . Watu hawa hupumbazwa kufungwa kichawi na kufanywa watumishi wa walio wapumbaza, kwa kadri walivyo nuiziwa. Wapo walio nuiziwa kuwatumikia mabosi wao kwa miaka kumi, wengine ishirini, wengine thelathini na w engine katika maisha yao yote.
Msukule huyu anaweza kuwa bar maid, meneja wa bar, House Girl, House Boy, Mkata majani, mkurugenzi wa kampuni kubwa, Mwalimu, daktari,mwanasheria, fundi wa magari, Mtayarishaji wa muziki, muuza mayai, au Ice Cream nakadhalika.
JINSI MISUKULE WA MAOFISINI WANAVYO TENGENEZWA.
Ili kumtengeneza mtu na kumfanya awe msukule wa ofisi mambo yafuatayo hufanyika.
Kwanza zinachukuliwa nyayo zake, kisha zinafungwa kwenye kitambaa cheusi pamoja mchanganyiko wa miti ya kichawi ya aina arobaini na dua maalumu ya kumfunga muhusika.
Pili linachimbwa shimo lenye urefu wa futi saba, ndani ya shimo hilo inafanyika kafara ya PUNDA MWENYE ALAMA YA MSALABA MGONGONI na kondoo mwenye rangi nyeusi bila doa lolote, halafu nyayo za mtu huyo zilizo fungwa kwenye kitambaa cheusi zikiwa pamoja na miti arobaini ya kichawi na dua yake, vinatupiwa kwenye shimo hilo huku maneno Fulani ya kichawi yakitamkwa.
Baada ya hapo litachukuliwa jiwe lenye uzito unao endana na idadi ya miaka ambayo mchawi anataka kumtumikisha muhusika.
Kama anamtaka kwa mwaka mmoja, basi jiwe huwa na uzito wa kilo moja, kama ni miaka kumi basi jiwe huwa na uzito wa kilo kumi, kama ni miaka thelathini, basi mawe yawe na uzito wa kilo thelathini, na kama anataka kumtumikisha maisha basi ataweka mawe yenye uzito wa kilo hamsini hadi miaka. Mawe hayo hukandamiza hicho kitambaa.
Baada ya hapo shimo hilo litafukiwa kwa udongo wa makaburini. Mambo haya yakisha fanyika, utachukuliwa mchanga wa kwenye kivuli cha muhusika, utachanganywa na dawa nyingine za kichawi ambazo idadi yake ni tisa, vitu vitafungwa kwenye kitambaa cheusi, na kuhifadhiwa kwenye kibuyu au chungu cheusi chenye dawa za kichawi kwa siku saba, baada ya hapo atachukuliwa kuku mweusi ambaye ataunguzwa kwenye chungu cheusi akiwa mzima hadi awe majivu.
Majivu hayo, yatagawanywa mara mbili, kisha fungu la kwanza atalishwa PUNDA MWENYE ALAMA YA MSALABA MGONGONI na kisha atazikwa akiwa mzima mzima, na fungu la pili atalishwa kondoo mweusi na kuzikwa akiwa mzima mzima.
Baada ya hapo litafanyika tambiko jingine la kafara ya PUNDA MWENYE ALAMA YA MSALABA MGONGONI na kondoo mweusi.
Kabla ya kuchinjwa kondoo pamoja na punda hao watalishwa dawa fulani za kichawi, na baada ya kuchinjwa nyama ya punda na kondoo watakao tolewa kafara, itatumika kumlisha mtu au watu walio kusudiwa. Mara nyingi huwa kwenye sherehe, hafla, au anaweza kukuita nyumbani kwake, kisha nyama husika ikawa kitoweo chako.
MTU AKIFANYIWA ULOZI HUU, HUWA MTUMISHI MTIIFU KATIKA MAISHA YAKE YOTE. AINA HII YA ULOZI HUTUMIKA PIA KATIKA MAPENZI.
Jinsi Ya Kujikinga Na Ulozi Huu:
Ili kujikinga na ulozi huu, mhusika afanyiwe tambiko maalumu la kumkinga dhidi ya uchawi na ulozi wa aina yote ile. Na kama tayari mtu ameshafanyiwa ulozi huu, basi lifanyike tambiko maalumu la kurudisha nyota yake na kumfungua kutoka kwenye kifungo hicho.
Katika tambiko hilo, ni lazima sehemu iliyo tumika kuzika unyayo wa muhusika, igunduliwe na kisha tambiko maalumu likafanyike katika eneo hilo.
KWA MAKALA KUHUSU ULIMWENGU USIO ONEKANA, TEMBELEA KILA SIKU:

Kwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na akaondoka kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki yangu aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu ili kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.
ReplyDeleteMwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwa ajili yangu - na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.
Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ni tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.
Lakini sio hivyo tu - Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyozunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.
Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote - huzuni, bahati mbaya, au kuchanganyikiwa - usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.
Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159
dawnacuna314@gmail.com
Sikuwahi kuamini kitu kama hiki kingeweza kunitokea hadi ndoa yangu ilipokaribia kuisha kabisa.
DeleteMume wangu alibadilika ghafla. Mwanaume ambaye hapo awali alinipenda na kunijali akawa baridi, asiyejali, na mwenye hasira bila sababu. Aliacha kuonyesha nia katika ndoa yetu, akaniepuka kabisa, na hatimaye akaniomba talaka. Nilivunjika moyo kwa sababu nilimpenda mume wangu kwa moyo wangu wote.
Mambo yalizidi kuwa mabaya aliponizuia kila mahali — WhatsApp, Facebook, Instagram — kana kwamba sijawahi kuwepo. Nililia kila usiku nikijiuliza nilifanya nini kibaya.
Siku moja, rafiki wa karibu alinitembelea na kunitambulisha kwa mtu wa kiroho anayeitwa Dkt. Dawn. Kwa kweli, mwanzoni nilikuwa na shaka, lakini niliamua kumweleza kila kitu kwa sababu sikuwa na chochote cha kupoteza.
Dkt. Dawn alinisomea mambo ya kiroho, na nilishtuka. Alifichua siri kuhusu ndoa yangu na maisha yangu binafsi ambayo hakuna mtu aliyejua. Kila kitu alichosema kilikuwa sahihi 100%. Kisha akafichua kwamba mwanamke mwingine alikuwa amemloga mume wangu. Mwanamke huyu alikuwa akimtembelea mara nyingi, na kwa upumbavu niliamini ilikuwa kuhusu kazi tu.
Dkt. Dawn alinisaidia kuvunja uchawi na akafanya ibada yenye nguvu ya kurejesha upendo kwa ndoa yangu.
Kwa mshangao wangu mkubwa, muda mfupi tu baadaye, mume wangu alinifungulia kizuizi mwenyewe na kuanza kunipigia simu na kunitumia ujumbe mwingi, akiniomba nimsamehe na nirudi nyumbani. Mwanzoni nilimpuuza kwa sababu ya maumivu aliyonisababishia, lakini hatimaye alirudi nyumbani akiwa na zawadi na machozi machoni mwake akiomba nafasi nyingine.
Leo, ndoa yetu ni imara zaidi, yenye furaha zaidi, na yenye amani zaidi kuliko hapo awali. Mapenzi kati yetu yanahisi upya kabisa.
Kana kwamba hiyo haitoshi, Dkt. Dawn baadaye alinisaidia na ibada ya ujauzito kwa sababu tulikuwa tumejitahidi kwa miaka mingi kupata watoto. Ndani ya wiki 8, nilipata mimba kiasili, na leo tumebarikiwa na wavulana wawili wazuri wenye afya njema.
Nitaendelea kushukuru milele.
Ukihitaji: Uchawi wa mapenzi wa kuungana tena na mpenzi wako wa zamani
. Usaidizi wa kurejesha ndoa
. Tamaduni za ujauzito za kupata mimba
. Usaidizi wa kiroho kwa kesi za mahakamani au kupona urithi
. Mwongozo na ulinzi wa kiroho
Ninapendekeza sana Dkt. Dawn. Ushuhuda wangu ni wa kweli, na furaha yangu leo ni uthibitisho. WhatsApp yake: +2349046229159
dawnacuna314@gmail.com