Header Ads

Jaji Warioba: Kurudia Uchaguzi Zanzibar ni Hatari

Jaji warioba
Akihojiwa na ITV Jaji warioba amesema kurudia Uchaguzi Zanzibar ni hatari na inaweza kupelekea umwagaji wa damu.
Jaji warioba amesema ni vema atafutwe msuluhishi wa katikati na pande zote zirudi mezani.

MyTake: Kama Kada wa CCM amemkataa Jecha, Bado kuna watu wanajitoa ufahamu,muda utawadia..Asiyesikia la mkuu huvujika guu

By Kibo10/JF

No comments